Wacheza filamu wenye majina makubwa kwa hivi sasa hapa nchini Ray na Gabo wamekutana tena kwenye filamu mpyaa ya Ray inayoitwa V.I.P
Filamu hiyo inayosambazwa na kampuni kubwa ya usambazaji Tanzania Steps entertainment inatoka mwishoni mwa mwezi huu.
Filamu hiyo ambayo inamuhusu mtoto wa raisi jinsi alivyokua anaendesha maisha yake tangu amezaliwa yumo pia staa mwingine Jackline Wolper
Gabo na Ray wamewai kucheza filamu nyingine ya Hard Price ambayo bado inafanya vizuri sokoni
No comments:
Post a Comment