Monday 27 October 2014

SAD MOMENT YA ISIKE SAMWEL IMETOKA LEO

Filamu ya Sad Moment ya mcheza filamu Isike Samweli imetoka leo ikisambazwa na steps entertainment filamu hiyo ambayo amewashilikisha wasanii wenye majina makubwa nchini kama vile Slim Omary inatarajiawa kupokelewa vizuri kutokana na aina ya story iliyomo ndani

"Si kama tu tunajifunza mazuri kupitia mazuri yawengine, bali hata mabaya yawengine yaweza kuwa darasa tosha kwetu SAD MOMENT"Isike amesema

No comments:

Post a Comment