Friday 24 October 2014

WASTARA:FILAMU YA UAMINIFU DHAIFU IMEMRUDISHA MATUMAINI

Mcheza filamu mwenye sifa ya kutendea haki kila kipengele anachocheza Wastara Juma amesema filamu ya Uaminifu Dhaifu ambayo ipo mtaani kwa sasa imemrudisha Matumini kwenye sanaa maana alikuwa kimya mda mrefu.
 Akifunguka kiafika bila hofu yoyote kwa kua Tanzania ni nchi huru Wastara amesema matumaini amecheza kwenye filamu hiyo kama mfanyakazi wandani mwenye vituko sana na ameonesha uwezo mkubwa sana pamoja ya kuwa alikua kimya mda mrefu na watanzania wampokee maana ameitendea haki nafasi yake


Kwenye filamu hiyo ambayo inasukumwa mtaani na kampuni ya stepsentertainment pia yumo mchekeshaji Bambo,mtangazaji na mcheza filamu Bond bin sinna na nsungu,pamija nawengine wengi,

sio ya kukosa kwani inasiku kama mbili tu mtaani kuwa mjanja kwa kupata nakala halisi kutoka stepsentertainment

No comments:

Post a Comment