Saturday 25 October 2014

SOMA ALICHOANDIKA NISHA KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK

Mcheza filamu za kitanzania Salma Jabu Nisha ambae kwa sasa anashikilia tuzo ya uchekeshaji bora kupitia tuzo za action and cut ameandika hivi kupitia ukurasa wake wa facebook kama njia ya kuaambia mashabiki wa ke malengo yake ya baadae

"Saa nyingine huwa nafikiri,Angeline Jolie huyu hapa,na wakati mwengine nawaza Genevieve Nnaji au Mercy Johnson huyu hapa,ila inshaallah M'Mungu atanifungulia kwa kila ndoto niiotayo leo,na ndio maana kufanya kazi kwa bidii na kuwa mbunifu na kutokuchoka na kuridhika ndo wamekuwa marafiki zangu wakubwa.. "I dont wanna be only a star,I wanna be a succeful woman"

Nisha kwa sasa anasumbua sokoni na filamu yake ya Zena na Betina ambayo inasambazwa na kampuni kubwa ya usambazaji Tanzania steps entertainment

No comments:

Post a Comment