Thursday 23 October 2014

FILAMU YA UAMINIFU DHAIFU YAINGIA MTAANI LEO




Filamu ya Uminifu Dhaifu ya Bond bin sinnan akiwa na Wastara Juma imeingia mtaani leo ikisambazwa na kampuni ya stepsentertainment

Filamu hiyo ambayo imekua ikisubiliwa kwa hamu kubwa kutokana na picha zake wakati wa uandaaji kuvutia wengi imechezwa pia na mchekeshaji Bambo na Matumaini sio yakukosa

No comments:

Post a Comment